Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,584
Wanatakiwa kuleta msukumo wa Mabadiliko ndani ya Chama chao na kuushinda Ufisadi ndani ya Chama na kuwaondoa Mafisadi na makuwadi wao ndani ya chama kwanza, kabla hawaja kwenye Uwanja wa Taifa!
Mimi nasema to hell na lichama lao. Kama wanataka kuendelea kuwafuga hao mafisadi, let them go ahead.
It's us, the people, who can teach them muthafunkers a lesson by booting them out. But that would only happen if most folks thought like me. But I know better. It probably ain't gonna happen.