Lonestriker
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 640
- 241
Hakuna mkoa ulionisikitisha zaidi ya Kagera katika uchanganuzi wangu wa matokeo ya uraisi katika uchaguzi uliopita.CCM walipata kura nyingi mno,ukiondoa mikoa ya waswahili wenzake kama Tanga,Mtwara kwa haraka haraka ni rahisi ku-conclude kuwa JK alipata asilimia kubwa sana ya kura kwa mkoa wetu wa Kagera...ndio mkoa unaokata kufit in my theory of observation,kwamba mikoa inayopatikana mipakani mwa nchi yetu ndio inayoleta changamoto kwa CCM.What is wrong with Kagera?Is it a case of being neglected for so long that we have lost our voice of resistance?