Maruku Vanilla
Member
- Jun 14, 2010
- 63
- 42
Mbunge ni mfanyakazi wako. Kodi yako ndiyo ujira wake. Kama unavyomuamuru mjakazi wako, muamuru mbunge wako kutetea afya yako, usilishwe vyakula vibovu wala dawa zilizokwisha muda wake. Muamuru mbunge wako kupata matibabu na elimu bora. Mwambie mbunge wako wewe hupendi wala hulei rushwa na haukubaliani na matumizi mabaya ya mali zetu. Mwandikie sasa na kumtumia ujumbe huu:
"Mbunge, jina lako lisipoonekana katika karatasi ya Zitto kumshinikiza Pinda ajiuzuru, basi nawe hesabu umepoteza mamlaka ya kuniwakilisha" Mwajiri wako-Mpigakura
Tahadhari:
Namba za simu za wabunge wetu zinapatikana. Usitumie za kwenye tovuti ya bunge. Hizo zilikuwa za kuingilia mjengoni! Hawataki mawasiliano na wewe wakiisha pata kura yako.
Wangapi mko tayari? Wakifika wanachama 70 naweka namba-hai za Wabunge wote wa Kagera hapa!
"Mbunge, jina lako lisipoonekana katika karatasi ya Zitto kumshinikiza Pinda ajiuzuru, basi nawe hesabu umepoteza mamlaka ya kuniwakilisha" Mwajiri wako-Mpigakura
Tahadhari:
Namba za simu za wabunge wetu zinapatikana. Usitumie za kwenye tovuti ya bunge. Hizo zilikuwa za kuingilia mjengoni! Hawataki mawasiliano na wewe wakiisha pata kura yako.
Wangapi mko tayari? Wakifika wanachama 70 naweka namba-hai za Wabunge wote wa Kagera hapa!