Mhe. Job Ndugai mbunge wa Kongwa amelewa madaraka, amechanganyikiwa , unaibu spika umempagaisha sasa hajui hata wajibu wake ni nini katika jimbo la Kongwa , wanawake toka kaskazini wamemchanganya, mke wake wa kwanza ni mchaga kamtelekeza Tabata, mke wa pili ni mpare huyu ndio kamchanganya kabisa kiasi kapeteza sifa ya kuwa mbunge wa Kongwa, amewacha kuwajibika kwa wapiga kura wake sasa anawajibisa zaidi kwenye kiti cha uspika. Mhe. Job Ndugai hatufai tena.
Sisi wazee wa Kongwa :-
Tumekaa leo kwa kauri moja kumpendekeza Dr. Gidion John Kasilagila BSC University of.Dar,es salaam , Msc University of Zimbwabwe, P.hD ,UK wa kijiji cha Mtanana aje awe Mbunge wetu kuanzia kipindi cha uchaguzi cha 2015 kwa ticketi ya CHADEMA.
Tumeona anafaa kabisa kuwa mbunge wetu kwa sababu zifuatazo:-
Ndugu Dr. Gidion John Kasilagila BSc, Msc, P.hD ni mtafiti katika kituo cha Ndorobo hapo Kange area Mjini Tanga akishugurika na uteketezaji wa Ndorobo kwa njia za kibaologia ( tse tsefly eradication using atomic energy).
Tunawaombeni tumpe ushirikiane kijana wetu , msomi wa kwetu, kikao kingine cha matayarisha kitafanyika tarehe 1 October Mtanana kwa Mchembo karibuni
Job Ndugai Masonenyi (hongera kwa kazi nzuri) tafuta mashamba sasa ukalime na hao wake zako.
Sisi wazee wa Kongwa :-
- Mzee Julius Roshee Mshama wa kijiji cha Mtanana
- Mzee Freedom Balisidya wa kijiji cha Majereko
- Mzee Yona Chilangwa wa Kongwa Mjini
- Mzee Jackson Jimmy wa kijiji cha Sagala
- Mzee Hassan Mchwembo wa kijij cha Mtanana
- Mzee Hussein Suleiman Madeni wa Kijiji cha Mtanana
- na Mzee Juma Hassan Yabwibwiki wa kijiji cha Ng`ambi.
Tumekaa leo kwa kauri moja kumpendekeza Dr. Gidion John Kasilagila BSC University of.Dar,es salaam , Msc University of Zimbwabwe, P.hD ,UK wa kijiji cha Mtanana aje awe Mbunge wetu kuanzia kipindi cha uchaguzi cha 2015 kwa ticketi ya CHADEMA.
Tumeona anafaa kabisa kuwa mbunge wetu kwa sababu zifuatazo:-
- Ni msomi ambaye ataendana na karne ya sasa ya sayansi na teknologia
- Ni mwana kijiji cha Mtanana na ameolea Mtanana
- Ni mbunifu ameshiriki kikamirifu katika kuibua mradi wa kupanda mti kijiji cha
- Kenda Uingereza kanunua matrekta kaleta Mtanana angekuwa ndugu yetu Ndugai
- Akipata ubunge ataishi Mtanana , akimaliza vikao vya bunge anarudi Mtanana
Ndugu Dr. Gidion John Kasilagila BSc, Msc, P.hD ni mtafiti katika kituo cha Ndorobo hapo Kange area Mjini Tanga akishugurika na uteketezaji wa Ndorobo kwa njia za kibaologia ( tse tsefly eradication using atomic energy).
Tunawaombeni tumpe ushirikiane kijana wetu , msomi wa kwetu, kikao kingine cha matayarisha kitafanyika tarehe 1 October Mtanana kwa Mchembo karibuni
Job Ndugai Masonenyi (hongera kwa kazi nzuri) tafuta mashamba sasa ukalime na hao wake zako.