Negotiator
JF-Expert Member
- Aug 9, 2010
- 303
- 44
Wadau nimefanya utafitri hapa ofisini. Kuna wazee na akina mama kwa ujumla ni sita wanasema hawakupanga kupiga kura mwaka huu lakini sasa wanasema lazima wapige kura kwa kua wameona kuna mgombea makini aliyeingia kwenye kinyang'anyiro hicho kupitia upinzani. Jee wenzangu huko mlipo kuna wapiga kura wa namna hii walioonyesha mwamko kama huu?
Hii ni ishara gani kwa chama tawala?
Hii ni ishara gani kwa chama tawala?