hahahahaaa.... huyo lazima alikuwa na uhaba.Nakumbuka kuna jamaa lijizi lilivunja mlango ili liibe, likakuta mr na mrs wanakula uroda. Likasahau kuiba likabaki linapiga chabo mpaka likakamatwa. Chabo bana, acheni watu wapige chabo. Ina raha yake.
hahahahaaa.... huyo lazima alikuwa na uhaba.Nakumbuka kuna jamaa lijizi lilivunja mlango ili liibe, likakuta mr na mrs wanakula uroda. Likasahau kuiba likabaki linapiga chabo mpaka likakamatwa. Chabo bana, acheni watu wapige chabo. Ina raha yake.
Hii kali mazee!
Kijiwe hiki nimekishindwa loooh!!!...Si kweli kwamba kupiga chabo ni kukosa nguvu za kiume/kike, kwa kweli hayo ya mikanda ya ngono hayana utamu kama chabo, kwa chabo ipo real zaidi unaweza kupata sauti za ukweli pia kutegemea na ukaribu unaweza kusikia hata harufu.
relax....kwani islii unaogopa nini??? nairobi kubwa hata ukitaka kariokor ipo pia
Kijiwe hiki nimekishindwa loooh!!!...
Nahisi bado nipo njiani kuelekea maturity...kama hali yenyewe ndo hiyo
I am already missing ur avatar!
i know pole sana!! ukitaka zaidi ni PM LOl
i know pole sana!! ukitaka zaidi ni PM LOl
wivu jamani
Duuuuuuuuuu! Jamani Dunia imefikia mwisho kbs....imeisha hilo jamaa hapo juu limejaza na mamisuli yote hayo kumbe shoga??
tena hao mabaunsa ndio watu wanawamega kishenzi.