Shishi
JF-Expert Member
- Feb 11, 2008
- 1,242
- 39
Kama ambavyo wewe umeweka picha yako halisi? Kuna kitu unakitaka kwa binamu yangu wewe. Tumekustukia.
ahahahahhaha Mjomba basi chonde chonde huyu binamu yako si ni mtu mzima wacha tulumbane mie naye. wee kaa kando tutakualika harusi! ama wataka chabo??? nyoooooooooooooo!