Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Mambo ya chabo bwana, kuna jamaa aliitwa akapige chabo, km kawaida jamaa akajumuika, alipofika kule akakuta anayemegwa bana ana undugu naye, lkn kwakuwa jamaa alikuwa ni mgonjwa wa CHABO na kwa ushauri wa wadau wale kwamba asitibue dili jamaa ikabidi apige kimya aendelee kula kozi, mle ndani jamaa anajituma km injini ya VX full spidi mwana, maujanja na mautundu ya kufa mtu, kila kona jamaa anatekenya, km dk ishirini hivi gemu likawekwa pozi kidogo, mara mambo ya wimbo weetuu uleee wa kizenji, samaki poleee yakaanza samaki sasa akawa anageuzwa ubavu wa pili tayari kuliwa JICHO, Jamaa kuona vile hakukubali si akaingia na mlango HAPANA HAIWEZEKANI UKAMGEUZA NA MIYE NDUGU YAKE NAONA, duh ikawa balaa tena wale wadau dili likambumbuluka wote wakalala mbele.