Jamani huyu mwanamuziki yupo wapi kwa sasa, jamaa alikuwa na sauti nzuri sana enzi zake akiimba sambamba na Banza Stone pale TOT Plus.
Mwenye taarifa alipo hivi sasa atujuze
---
Waziri Sonyo ni muimbaji mahiri nchini, amepata kung'ara na bendi za Chuchu Sound, TOT Plus, African Revolution Tamtam na Mviko Sound.
Mwaka 2009, Sonyo alikuwa akikabiliwa na shitaka kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tanga akidaiwa kula njama na kuiba pikipiki, lakini Oktoba mwaka 2010 alipewa adhabu ya kifungo cha nje kutokana na kukutwa na hatia ya kupatikana na pikipiki ya wizi.
WAZIRI SONYO ENZI ZAKE AKITIA MASAUTI
Kwa sasa WAZIRI SONYO yupo mkoani Tanga ambapo yupo na band ya NYUMBANI CLASSIC BAND ambao itakua ni band ya hotel huku wakisubiri ukumbi wao mkubwa wa jijin Dar-es-salaam uishe ili wahamishie majeshi jijini na kuanza upinzani na band zinazotamba na kutikingisha jiji lakini kwa mujibu wa waziri Sonyo amesema tayari wapo mbioni kuitoa album ya nyumbani clasic band ambayo itakua na nyimbo sita ikiwamo NAZIHESABU HATUA ZANGU ambao ni utunzi wake mwenyewe huku band hiyo ikiwa na mwanadada anaejulikana kwa jina la lady ambae ni mzoefu wa nyimbo za copy inagawa vile vile akitegemea kutengeneza nyimbo ambayo itaingia katika album ya NYUMBANI CLASSIC BAND
SONYO pamoja na mashabiki wake kummis toka alivyoenda jela lakini kwa sasa anaamini kuwa mwanzo mzuri wa kung'ara tena ndio huu na mashabiki wake wavute subira mengi mazuri yaja kwa waziri Sonyo na band yake ya NYUMBANI CLASSIC.
Mwenye taarifa alipo hivi sasa atujuze
---
Waziri Sonyo ni muimbaji mahiri nchini, amepata kung'ara na bendi za Chuchu Sound, TOT Plus, African Revolution Tamtam na Mviko Sound.
Mwaka 2009, Sonyo alikuwa akikabiliwa na shitaka kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Tanga akidaiwa kula njama na kuiba pikipiki, lakini Oktoba mwaka 2010 alipewa adhabu ya kifungo cha nje kutokana na kukutwa na hatia ya kupatikana na pikipiki ya wizi.
WAZIRI SONYO ENZI ZAKE AKITIA MASAUTI
Kwa sasa WAZIRI SONYO yupo mkoani Tanga ambapo yupo na band ya NYUMBANI CLASSIC BAND ambao itakua ni band ya hotel huku wakisubiri ukumbi wao mkubwa wa jijin Dar-es-salaam uishe ili wahamishie majeshi jijini na kuanza upinzani na band zinazotamba na kutikingisha jiji lakini kwa mujibu wa waziri Sonyo amesema tayari wapo mbioni kuitoa album ya nyumbani clasic band ambayo itakua na nyimbo sita ikiwamo NAZIHESABU HATUA ZANGU ambao ni utunzi wake mwenyewe huku band hiyo ikiwa na mwanadada anaejulikana kwa jina la lady ambae ni mzoefu wa nyimbo za copy inagawa vile vile akitegemea kutengeneza nyimbo ambayo itaingia katika album ya NYUMBANI CLASSIC BAND
SONYO pamoja na mashabiki wake kummis toka alivyoenda jela lakini kwa sasa anaamini kuwa mwanzo mzuri wa kung'ara tena ndio huu na mashabiki wake wavute subira mengi mazuri yaja kwa waziri Sonyo na band yake ya NYUMBANI CLASSIC.