hayo mapanga ya helicopter wanaweza kuyaweka?
aaah nakwambia kamuulizie msusi mmoja hivi anaitwa Felista, utafurahi mwenyewe, mkeo kichwa kitakuwa kama helkopta ya Mbowe
kakuchekesha kusema mke wangu au? halafu leo mkesha upo kawe?ha haaaaaaaa mie kanichekesha
kakuchekesha kusema mke wangu au? halafu leo mkesha upo kawe?
siyo ya mbowe ni ya Ndesamburo a.k.a ndesa pesa:gossip:
mkesha wapi ha haaaaa,wewe na BHT mmenichekesha ujue,eti kama helikopta ya mbowe ha ha haaaaaaaaaaaaa
@roselyn huko 'rehab' unafanza nini tena?
sweetheart we angalia tu vizuri hayo mabawa kichwani....itasaidia na hizi foleni mtu anapaa zake eeeeeeeeasy!!!
ndio nimetoka dear nitakueleza siku nyengine!,