P funk,Baucha,man walter wamesomea wapi? Wapo watu wengi tu tena wengine nnawajua personally wamesomea SOUND ENGINEERING nje ya Tanzania wapo wanapiga kazi.shule ya mziki ipo bagamoyo. hawa wengine wanajifunza kutoka kwa wakongwe kama mj, p funk, baucha, man walter n.k. mambo ya mziki hapa bongo wanajifunza kama baiskeli mwenye. mia
P funk,Baucha,man walter wamesomea wapi? Wapo watu wengi tu tena wengine nnawajua personally wamesomea SOUND ENGINEERING nje ya Tanzania wapo wanapiga kazi.
Mfano kuna mtu anaitwa Keppy yupo Njenje,Huyu ni mtaalam wa Live Sound Engineering kama umewai fika kwenye show za njenje utajua nnamaanisha nini,pia Clouds na wengineo wanamtumia katika matamasha yao ya live kama vile fieasta
Mfano kuna mtu anaitwa Keppy yupo Njenje,Huyu ni mtaalam wa Live Sound Engineering kama umewai fika kwenye show za njenje utajua nnamaanisha nini,pia Clouds na wengineo wanamtumia katika matamasha yao ya live kama vile fieasta
dah!
Sasa Wanapatikana Wapi Mkuu?
wanapatikana dar es salaam. P funk yupo pale nyuma ya kituo cha mafuta cha bamaga, mj(master J kimario) yeye yupo masaki chore road karibu na kwa barekhsa au mbele ya apartment mpya za seaclif.mj yupo usawa wa slip way,kama unatoka mjini kupitia chore road, kwa mj unakata kulia kabla ya kufika barabara ya kwenda slipway. ukipotea nipm ntakuelekeza. mia