hili nilikuwa nalitarajia toka kwa ccm kuwa wangeandaa kongamano la kupingana na lile la wanazuoni siku ya kumbukumbu ya mwl nyerere,hebu tufanye tathimini,wapi walimuenzi mwl nyerere?ni hao vijana waliopelekwa na mabasi pale karimjee hall au wanazuoni na wananchi wengine waliokuwa pale udsm?