yaani wewe huoni hiyo ni mboga na naulizia ugali nikamilishe nilichobandika? tena nimekuuliza wewe NN
Kichwa cha mada mbona hakiendani na ulichobandika?
Sisi Wasukuma hatuhusudu ugali kwa dagaa, menyu yetu sisi weka hapo ugali kwa mrenda, nzubho, au nkarango hapo utakuwa umetupatia; na ka glasi ka maziwa pembeni!.