Ibrahim K. Chiki JF-Expert Member Apr 5, 2011 594 163 Nov 2, 2011 #1 Ndugu zetu na watetezi wetu tughe na tucta mpo wapi? mbna mpo kimya? wanachama wenu hatujapata mishahara yetu.
Ndugu zetu na watetezi wetu tughe na tucta mpo wapi? mbna mpo kimya? wanachama wenu hatujapata mishahara yetu.
Mamndenyi JF-Expert Member Apr 11, 2011 40,598 52,296 Nov 2, 2011 #3 walishachukua chao mapema, na wameshona mabakuli yao.
Ze burner JF-Expert Member Jan 5, 2011 514 83 Nov 3, 2011 #4 mwezi juzi mishahara ilikopeshwa na rostam, mwezi jana lowasa sasa naona mwezi huu bado hajatokea mfadhilia. we subiri tuu!
mwezi juzi mishahara ilikopeshwa na rostam, mwezi jana lowasa sasa naona mwezi huu bado hajatokea mfadhilia. we subiri tuu!