Nimeajiriwa,take home yangu ni above 800,000.Mwajiri wangu hatoi barua ya mkopo na ameingia katika makubaliano maalum na Bank moja hapa nchini mishahara yote hulipwa kwa kutumia hiyo bank tu,hakubali kulipa .mshahara kwa kutumia Bank nyingine yeyote zaidi ya hiyo bank.Payslips na bank statement zinapatikana.
Je wapi naweza pata mkopo????
Natanguliza shukrani!!
Je wapi naweza pata mkopo????
Natanguliza shukrani!!