Chapa Nalo Jr
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 7,515
- 6,489
Naombeni kujuzwa jamani
Kuna Chuo Kikuu kilianzisha maeneo ya Manzese kama sikosei, kikiitwa Regional University, ila kilikuwa na mgogoro wa usajili na Tume ya Vyuo Vikuu, kuna habari kuwa kilikuwa kina wanafunzi tayari wa Shahada ya kwanza.
Je kipo au ndio ule mgogoro ulikifuta?
Kuna Chuo Kikuu kilianzisha maeneo ya Manzese kama sikosei, kikiitwa Regional University, ila kilikuwa na mgogoro wa usajili na Tume ya Vyuo Vikuu, kuna habari kuwa kilikuwa kina wanafunzi tayari wa Shahada ya kwanza.
Je kipo au ndio ule mgogoro ulikifuta?