Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante mkuu, wanafungua leo Jumapili??Kuna duka barabara ya Mandela kituo cha Matumbi baada ya junction ya kwenda Tabata kama watokea Ubungo mkono wa kulia, pale wanauza vifaa vya Mazda na Ford pale pia kuna mafundi wa magari hayo mawili I guess! Pembeni ya duka kama hatua kumi na tano hivi kuna gereji muulize fundi anaitwa Babu yeye ana deal na Mazda huenda akakuelekeza fundi mzuri wa Ford ama kama wataka kibosi zaidi uende Posta pale kwa wakala wao!
Kuna duka barabara ya Mandela kituo cha Matumbi baada ya junction ya kwenda Tabata kama watokea Ubungo mkono wa kulia, pale wanauza vifaa vya Mazda na Ford pale pia kuna mafundi wa magari hayo mawili I guess! Pembeni ya duka kama hatua kumi na tano hivi kuna gereji muulize fundi anaitwa Babu yeye ana deal na Mazda huenda akakuelekeza fundi mzuri wa Ford ama kama wataka kibosi zaidi uende Posta pale kwa wakala wao!