Wapi ntapata Fundi Mzuri Engine za Ford??

Shark

JF-Expert Member
Jan 25, 2010
29,423
29,084
Wadau,
Nahitaji kufanyia Services Gari aina ya Ford Galaxy,
Tatizo ni kua nimekua nikitumia mafundi wa mtaani ambao naona kama wananiharibia tu gari.
Please nisaidieni kama mnawafahamu mafundi/garage specific za haya magari hapa Dar.
 
Kuna duka barabara ya Mandela kituo cha Matumbi baada ya junction ya kwenda Tabata kama watokea Ubungo mkono wa kulia, pale wanauza vifaa vya Mazda na Ford pale pia kuna mafundi wa magari hayo mawili I guess! Pembeni ya duka kama hatua kumi na tano hivi kuna gereji muulize fundi anaitwa Babu yeye ana deal na Mazda huenda akakuelekeza fundi mzuri wa Ford ama kama wataka kibosi zaidi uende Posta pale kwa wakala wao!
 
Kuna duka barabara ya Mandela kituo cha Matumbi baada ya junction ya kwenda Tabata kama watokea Ubungo mkono wa kulia, pale wanauza vifaa vya Mazda na Ford pale pia kuna mafundi wa magari hayo mawili I guess! Pembeni ya duka kama hatua kumi na tano hivi kuna gereji muulize fundi anaitwa Babu yeye ana deal na Mazda huenda akakuelekeza fundi mzuri wa Ford ama kama wataka kibosi zaidi uende Posta pale kwa wakala wao!
Ahsante mkuu, wanafungua leo Jumapili??
 
Kuna duka barabara ya Mandela kituo cha Matumbi baada ya junction ya kwenda Tabata kama watokea Ubungo mkono wa kulia, pale wanauza vifaa vya Mazda na Ford pale pia kuna mafundi wa magari hayo mawili I guess! Pembeni ya duka kama hatua kumi na tano hivi kuna gereji muulize fundi anaitwa Babu yeye ana deal na Mazda huenda akakuelekeza fundi mzuri wa Ford ama kama wataka kibosi zaidi uende Posta pale kwa wakala wao!

Kaka jana nimefika pale wakabaki wanashangaa tu Gari,
Wadau msaada please!!!
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom