KAMA MTAKUMBUKA MIAKA YA 2000 KUNA HAWA MABINTI WAWILI WAIGIZAJI KWENYE KUNDI LA SANAA LA KAOLE ENZI HIZO WAKIUZA SURA ITV JE WAKO WAPI HAWA DU! WALIUZA SANA MAGAZETI YA AKINA SHIGONGO A.K.A UDAKU.:embarassed2:
Nora kapigwa ndoa
ambayo juz kati
nlskia haitak
eti inambana!!
Sinta namuona$kwenye
magazeti ya udaku
mara sjui kawapeleka
wenzie kituon
mara sijui nini?
Wapo
Wamefulia tu hawana lolote unachezea usupastaa wa bongoland ambao hauna mbel wala nyuma wala pesa achilia mbali mali? Wanaonufaika ni akina shigongo kwa kuwaandika na kuuza magazeti c wasanii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.