Ramthods
JF-Expert Member
- Jun 2, 2009
- 515
- 186
Wana JF, tangu miezi 3 iliyopita nimekuwa nikipata matatizo ya AC ya gari, ukizingatia tena hili jua letu la hapa bongo.
Nimeenda kwa mafundi tofauti, lakini baada ya mwenzi mmoja tu tatizo linarudi pale pale, na pia AC haipoozi sana kama hapo mwanzo.
Nahisi hawa mafundi naowapelekea hawajui wanachofanya bali ni kazi ya kubahatisha tu, huku hela zikiendelea kunichomoka mfukoni bila solution ya kueleweka.
Kama kuna mtu anafahamu fundi mzuri wa AC ya gari hapa Dar, ambae anajua nini anachofanya na si kubahatisha embu posti hapa au ni PM.
Natanguliza shukrani
Nimeenda kwa mafundi tofauti, lakini baada ya mwenzi mmoja tu tatizo linarudi pale pale, na pia AC haipoozi sana kama hapo mwanzo.
Nahisi hawa mafundi naowapelekea hawajui wanachofanya bali ni kazi ya kubahatisha tu, huku hela zikiendelea kunichomoka mfukoni bila solution ya kueleweka.
Kama kuna mtu anafahamu fundi mzuri wa AC ya gari hapa Dar, ambae anajua nini anachofanya na si kubahatisha embu posti hapa au ni PM.
Natanguliza shukrani