wanajanvi, nchi iko rehani kiuisalama. matukio ya hivi karuibuni yasikitisha, nilitegemea dr angetoa tamko lakini kimya au kwakuwa hana uhakika na msimamo wa ndani wa boss wake katika hili?
Ataunda kamati kuchunguza...
1.kuuwawa kwa kamanda Barlow
2.kutekwa na kupigwa kwa Dr Ulimboka
3.kuchunguza kiwanja kilichotekwa na kundi la sheikh ponda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.