Ozzie
JF-Expert Member
- Oct 9, 2007
- 3,217
- 1,259
Wana JF!
Msaada tutani.
Nauliza sehemu ninapoweza kutengeneza stamp nzuri yenye ubora kwa ajili ya ofisi na pia kutengeneza vyeti vizuri vya dawa kutoka kwa daktari (prescription form) nikiwa Dar es Salaam? Ningependa kujua gharama zao na ikiwezekana hata mawasiliano yao.
Shukrani!!!
Msaada tutani.
Nauliza sehemu ninapoweza kutengeneza stamp nzuri yenye ubora kwa ajili ya ofisi na pia kutengeneza vyeti vizuri vya dawa kutoka kwa daktari (prescription form) nikiwa Dar es Salaam? Ningependa kujua gharama zao na ikiwezekana hata mawasiliano yao.
Shukrani!!!