Mpwa, Josephine wa Kingstar ulijilipua kavu? Jamaa yake tushafukia na dongo tani saba majuzi. Hata funza bado hawajaanza kula protini za mjeba.
Nenda Angaza ya pale AMREF karibia na kituoa cha daladala cha Agha Khan yaani within 10 minutes utakuwa na majibu ya status yako
Hahaha hii ni kwa watu wa Dar tu km yupo mkoa wa Katavi kama mimi hapa ni kwenda vituo vya afya na majibu atapata baada ya wiki
Vp umepima lakini unapo sema siku hizi sio issue?
Kabla ya kupima na baada ya kuchukuliwa damu ulikuwa unajisikiaje?