Habari,
Nataka kuanza kujifunza vifaa vya mziki kama guitar na kinanda, wakati wa jioni kuanzia saa moja usiku kuendelea.
Naomba ushauri wa wapi naweza pata mwalimu au shule ya namna hii hapa dar kwa bei ambayo sio ghari?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.