Nina mimba na nina hisi kama sio ya mume wangu. mume wangu ni mzungu ,nilietembea nae ni mweusi kama mkaa, kutoa mimba naogopa kwasababu nimekuwa nikitafuta mimba muda wa miaka 7 sasa bila mafanikio. Je kama mtoto mungu alieniandikia ndie huyu nifanyaje?
Huyo nahemuhisi ndiye mwenye mtoto ana wake wawili na watoto 8, najua hana uwezo wa kuningalia ingawa ananipenda sana. Mume wangu ana kazi nzuri kwenya shirika moja la simu, nikijifungua mtoto sio wake najua lazima ndio iwe mwisho wetu
Naelewa mwisho wa siku labda itanibidi niitoe hii mimba ila nahitaji kujua kama kuna njia yoyote ya kuweza kujua DNA ya mtoto kabla ya kuzaliwa, tayari najua blood group ya mume wangu na ya huyo mtu wangu wa nje, Je wanaweza kunichekia blood group ya mtoto bado akiwa tumboni wakaniambia ni yupi ndio baba?
Nimesikia Tanzania kuna sehemu wanacheki DNA Ila mimi nahitaki wanifanyie hiyo DNA sasa hivi wakati mtoto yupo tumboni
Nipo njia panda
Pendo
Huyo nahemuhisi ndiye mwenye mtoto ana wake wawili na watoto 8, najua hana uwezo wa kuningalia ingawa ananipenda sana. Mume wangu ana kazi nzuri kwenya shirika moja la simu, nikijifungua mtoto sio wake najua lazima ndio iwe mwisho wetu
Naelewa mwisho wa siku labda itanibidi niitoe hii mimba ila nahitaji kujua kama kuna njia yoyote ya kuweza kujua DNA ya mtoto kabla ya kuzaliwa, tayari najua blood group ya mume wangu na ya huyo mtu wangu wa nje, Je wanaweza kunichekia blood group ya mtoto bado akiwa tumboni wakaniambia ni yupi ndio baba?
Nimesikia Tanzania kuna sehemu wanacheki DNA Ila mimi nahitaki wanifanyie hiyo DNA sasa hivi wakati mtoto yupo tumboni
Nipo njia panda
Pendo