Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
lunch time.
sijui kama atarudi lunch time saa 5asubuhi??
lunch time.
Nadhani inatia aibu kusema jambo ambalo huna hakika nalo....nimejaribu kusoma kejeli hapa nyingi sana lakini nasema mambo yatakapo kuwa kama nilivyosema( na bila shaka mnajua wameshaanza) ....msisite kuja hapa kupongeza pia.......
Pole sana Edson, kazi yenu sasa ni kujaribu kuzusha hata ambayo hayaingii akilini, kama nyi wengine ndoa zimewashinda bahati mbaya poleni... Kama mnaweza kuzusha mpaka ya kifamilia, basi sitashangaa kesho mkisema Nape mchina... Maana kama mnaweza kumzushia mtu kutembea hata na mama yake, basi huu ni uzushi wa kutisha...pole sana maana mmetafuta ufisadi wa Nape mpaka miguu imeota vigimbi... Dawa ya uchafu kuoga si kujaribu kuchafua wengine kwa kudhani utakua msafi
Kwa hili unapaswa uone aibu. Mambo yapi yaliyoanza! Rostamu kaondoka kwa sababu ya siasa Uchwara na si kwa kulazimishwa na mtu. Usiongee kwa mafumbo kama Mwimba taarabu. Yataje mambo yaliyokwishaanza ni yapi! Tunachoweza kukushauri ni kwamba Usifanye shingo ngumu, rudi kwa akina Mzee Lowasa ukawaangukie, wale ni watu wazima wanaoelewa kwamba ulikuwa unaganga njaa tu watakusamehe, lakini ukiendelea kufanya shingo ngumu, itavunjika. Mzee wako Msekwa ndio huyo tena ni aibu nyingine. Kumbe nalo ni jizi tu la mali ya Watanzania. Sasa atawezaje kumnyooshea kidole Mzee wa Vijisenti! Halafu kuwa makini sana, kwani imeshaonekana kwamba CCM hakuna mtu msafi kuanzia waliopo sasa na wengi waliopita. Angalia wasije kuanza kufichua na Madudu yaliyofanywa na Waliotangulia, Wengine ni Wazazi wetu! Akina Lowasa wanajua mengi!
Nadhani inatia aibu kusema jambo ambalo huna hakika nalo....nimejaribu kusoma kejeli hapa nyingi sana lakini nasema mambo yatakapo kuwa kama nilivyosema( na bila shaka mnajua wameshaanza) ....msisite kuja hapa kupongeza pia.......
Nadhani inatia aibu kusema jambo ambalo huna hakika nalo....nimejaribu kusoma kejeli hapa nyingi sana lakini nasema mambo yatakapo kuwa kama nilivyosema( na bila shaka mnajua wameshaanza) ....msisite kuja hapa kupongeza pia.......
Nakushauri Igunga nenda kwa step usije kuondoka kwa aibu kuna mbegu inapandwa kule kuwa wewe ndiye chanzo cha kipenzi chao kuondoka hawataki kukuona wanajiandaa kama si kukupopoa kukuzomea popote utakapopita, habari ndio hiyo.Zamani facts na arguments vilikuwa ni mapambo hapa jamvini, sikuhizi hisia na kejeli zinajitahidi kupamba jukwaa.....
Siku nikiingia Igunga mtajua tu, hakuna sababu ya kuandikia mate wakati winno upo......
Nape anajiandaa kwani yuko na watu makini wasiojua ni vigumu kunielewa.Nyie subirini mtaona tu kimya cha Nape, hiyo yote inayosemwa ni njama za mafisadi ila watashindwa tu.Watu mnaowataja walishachafuka hawasafishiki hata kwa gunia la sabuni ya unga.
Nimemuona sasa hivi nje ya makao makuu ya ccm ofisi ndogo ya Lumumba yuko na mzee Kingunge Ngombale Mwiru wanapiga story, huku Land cruiser v 80 limepaki linamsubili Boss Nape, na anachonikosha huyu bwana hajavaa kinafki kama kingunge, Nape amepiga shati safi na Jeans na simple shoes na mkononi ana bahasha ya kaki nadhani ina posho ya lunch kwa ajili ya akina Muhadhili, Ritz & co.Nnauye mbona umekimbia???
Simba kapakatwa Pub, Anakula raha
Yupo FB kaweka kambi huko!
Alianza kwa Mkwara. Wapimaji wa mambo wakasema ni Mkwara wa Nanasi ambao Nje ni Miba wakati Ndani ni utamu mtupu.
Baada ya kelele nyingiiii, baadae amejigundua kumbe amezungukwa na kundi la Wanafiki, akavunjika nguvu. Wapi Operesheni Vua gamba? Wapi Mapacha Watatu aliotuambia wamewapa siku tisini na kuwaandikia barua?
Zile kelele zooote ngumbe ni ndege mnana tu! We unacheza na Mkweree wewe! Full Unafiki!!
Rudi ukawaombe radhi akina Mzee Lowasa uliojifanya kula nao sahani moja maana ndo wanaelekea kuziba hilo ombwe la Uongozi lililopo CCM sasa. Sijui utakimbilia wapi?
Chadema ulishawakorofisha, labda ukimbilie kwa Dovutwa Fahmi.
Pole sana.
shikisha ukuta........chama cha magamba hakina msafi hata mmoja. Nasema nikiona mtu anashabikia hiki chama natamani kum.........................