Nilikuwepo siku hiyo sheikh amri abei wakati anarudisha kadi kwa kweli nilimsikitikia sana, nikaja sikia kwa mama mmoja rafiki yake ni mkenya akanambia nakaya anajuta na hana hamu ya kuishi na kufanya kazi zake arusha. Da pole sn dada
Nasikia anabembeleza arudi CDM akaambiwa ushanyea kambi wewe labda jaribu kwa chama kipya cha HAMAD RASHID....what is 3M by the way km sio njaa wewe mdada ona sasa unavyoanza kutoka mangeu na bado na hatukuhitaji tena ktk revilution sana sana komaa na wazungu thru selling NYAGO labda unaweza toka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.