Wapi Nakaaya Sumari

Nilikuwepo siku hiyo sheikh amri abei wakati anarudisha kadi kwa kweli nilimsikitikia sana, nikaja sikia kwa mama mmoja rafiki yake ni mkenya akanambia nakaya anajuta na hana hamu ya kuishi na kufanya kazi zake arusha. Da pole sn dada
 
Naona unga unaosambazwa na watoto wa vigogo umemuaribu mbaya.
 
Nasikia anabembeleza arudi CDM akaambiwa ushanyea kambi wewe labda jaribu kwa chama kipya cha HAMAD RASHID....what is 3M by the way km sio njaa wewe mdada ona sasa unavyoanza kutoka mangeu na bado na hatukuhitaji tena ktk revilution sana sana komaa na wazungu thru selling NYAGO labda unaweza toka
 
Ana tamaa mbaya ndo ilimpelekea hata kujipeleka majuu kumbe anafuata matapeli.
 
Back
Top Bottom