Wapi na Kazi zipi diploma holder wa computer science anaweza kufanya!

1.kutengeneza websites
2.kutengeneza program
3.kufundisha chuo ila level ya certificate
4.kutengeneza networks
5.kutengeneza atm machine
6.kurepair computer
7.cyber security system

kwa kifupi computer science ni kozi nzuli sana ukiwa na diploma unakula mshaala si chini ya millioni mbili
ukiwa na degreee unakula mshahala si chini ya millioni nne na ukiwa na masters si chini ya millioni nane
kama unataka kufahamu nenda njoo airtel makao makuu dar maeneo ya kinondoni nakukaribisha sana
 
1.kutengeneza websites
2.kutengeneza program
3.kufundisha chuo ila level ya certificate
4.kutengeneza networks
5.kutengeneza atm machine
6.kurepair computer
7.cyber security system

kwa kifupi computer science ni kozi nzuli sana ukiwa na diploma unakula mshaala si chini ya millioni mbili
ukiwa na degreee unakula mshahala si chini ya millioni nne na ukiwa na masters si chini ya millioni nane
kama unataka kufahamu nenda njoo airtel makao makuu dar maeneo ya kinondoni nakukaribisha sana

mkuu unasema kweli au unampa moyo 2 huyu jamaa kwa hizo hela unazosema za mshahara?
 
Ahhahaha kwa mtazamo wangu wa sasa dip yako labda uwe una manage internrt cafe maana ushindani mkubwa sana sana sana....walio na degree na masters (plus certifications) ndio wanatamba kwenye soko la ajira!!kama unataka uuzike sawa sawa piga mcse,ccna(ccnp),oracle,security(ccsp) hapo sawa!!!
 
1.kutengeneza websites
2.kutengeneza program
3.kufundisha chuo ila level ya certificate
4.kutengeneza networks
5.kutengeneza atm machine
6.kurepair computer
7.cyber security system

kwa kifupi computer science ni kozi nzuli sana ukiwa na diploma unakula mshaala si chini ya millioni mbili
ukiwa na degreee unakula mshahala si chini ya millioni nne na ukiwa na masters si chini ya millioni nane
kama unataka kufahamu nenda njoo airtel makao makuu dar maeneo ya kinondoni nakukaribisha sana

hapo kwenye mshahara,ucmpe mwenzio bichwa aisee,hakuna kitu kama hcho hapa bongo.
 
Back
Top Bottom