1.kutengeneza websites
2.kutengeneza program
3.kufundisha chuo ila level ya certificate
4.kutengeneza networks
5.kutengeneza atm machine
6.kurepair computer
7.cyber security system
kwa kifupi computer science ni kozi nzuli sana ukiwa na diploma unakula mshaala si chini ya millioni mbili
ukiwa na degreee unakula mshahala si chini ya millioni nne na ukiwa na masters si chini ya millioni nane
kama unataka kufahamu nenda njoo airtel makao makuu dar maeneo ya kinondoni nakukaribisha sana
1.kutengeneza websites
2.kutengeneza program
3.kufundisha chuo ila level ya certificate
4.kutengeneza networks
5.kutengeneza atm machine
6.kurepair computer
7.cyber security system
kwa kifupi computer science ni kozi nzuli sana ukiwa na diploma unakula mshaala si chini ya millioni mbili
ukiwa na degreee unakula mshahala si chini ya millioni nne na ukiwa na masters si chini ya millioni nane
kama unataka kufahamu nenda njoo airtel makao makuu dar maeneo ya kinondoni nakukaribisha sana
hapo kwenye mshahara,ucmpe mwenzio bichwa aisee,hakuna kitu kama hcho hapa bongo.