Wapi mtu anaweza invest mtaji wa more than 1 Bilion for great return profits hapa Tanzania?

nitafute. biashara ya dhahabu na vito inalipa. soko lipo far east, europe na america.
 
m/mungu!!!!!!
Usile wala usitoze riba!!!

Kwa sisi Wakristo riba iliyokatazwa ni pale unapomkopesha pesa mtu mwenye shida (ndugu yako). Yaani mtu anakuja kwako ana tatizo fulani na kipindi hicho hana pesa nahitaji kukopeshwa ili atatue tatizo lake, hapo hutakiwi kumkopesha kwa riba. Lakini benki iliyojaa mapesa na yenye kufanya biashara ya kuzalisha mapesa na yenye kukwambia kuwa "ukiweka pesa kwetu tutakupa riba kiasi fulani kwa mwaka (subject to change without notice)" hiyo haina shida maana huyo siyo ndugu yako.


NENO LA MUNGU linasema katika Torati 23:19-20

19 Usimkopeshe ndugu yako kwa riba; riba ya fedha, riba ya vyakula, riba ya kitu cho chote kikopeshwacho kwa riba;

20 mgeni waweza kumkopesha kwa riba, ila usimkopeshe ndugu yako kwa riba; ili Bwana, Mungu wako, apate kukubarikia katika yote utiayo mkono wako, katika nchi uingiayo kuimiliki.
 
Rafiki kwa interest ya 2 % ya benki zetu kwa mwaka, kwa mwezi anapata mil 1.66 tu. Hiyo ni pesa kidogo sana. Kama yuko DAR benki pekee yenye interest kubwa kwa savings account ni Dar es Salaam Community Bank (DCB), ambayo inatoa 5 %. Na kwa pesa yake hiyo anapata mil 4.166 kwa mwezi angalau hiyo kama hana matumizi makubwa sana.

Exim under circumstances wanapiga hata 8%. Clean money.
 
JF Bana Ishakuwa Chai sana...angalia kila mtu ni PM ni PM...Mbona zamani tulikuwa tunaelekezana ki uwazi uwazi..angalia thread ya mtaji wa 10m angalia thread ya kujenga nyumba kwa 20m

Mkuu send your contact here luismy2k@gmail. we will chat more about this issue.

Mkuu ni pm nkukutanishe na mkurugenz mkuu wa shrika fulan hapa Tz anajua michongo ming sana na yenye faida

Ujanja Ujanja tu...shusha mchanganuo mzima wa uwekezaji ila na wengine wapate faida..sasa mienda PM what faida ya kuweka uzi huu...
 
wana jamvi, kuna mtu anataka ku invest tanzania lakini hataki invest ndogo ndogo walau anataka sehemu ya kuwekeza ela isiyo pungua tshs 1 billion. Je sehemu gani anaweza wekeza na akawa sure kupata faida nzuri?

mwambie awe mjanja afanye an import business....afanye kununua bidhaa nnje kiwandani e.g. china, thailand, phillipines etc viwanda vyenye gharama ndogo za uzalishaji cz bidhaa zao zitakuwa cheap sana na akinunua mzigo mwingi bei inashuka zaidi kuanzia container ya 40 feet kwa kuanza sio mbaya akatumia 600 million. Then hapo bandari ndio patamu zaidi....mzigo wake unatoka safii !!! ukishaingia Bongo....ni mwendo wa kuchota hela na kiroba. Ni PM for more info !!!
 
Tehe tehe kazi ipo ninavyojua hiyo mifugo kupambana nayo mbona anaweza akajinyonga na mali zake
Mimi nadhani wana jf kinachotakiwa ni kumuelekeza wapi anaweza kupata faida kwenye pesa hiyo.kimsingi mimi nadhani ukiwekeza pesa hiyo katika ufugaji whether wa ng,ombe wa maziwa au kuku wa kienyeji,nadhani ndani ya miaka mitano wewe ni bakhresa.
 
when you talk about investment with high returns it also goes with the risk.with 1 bilion Tsh once spoken it looks big but once invested it may not show result in near futre for example real estate is good business but slow in return.Farming is good but its volatile?as an investor you need to weigh your options?Looking at tanzania the opportunities are huge you only need to chose an industry and venture correctly for there are no barriers look at azam and how he has taken a share of the cola market.there is nothing im[possible just do you research
 
wana jamvi, kuna mtu anataka ku invest tanzania lakini hataki invest ndogo ndogo walau anataka sehemu ya kuwekeza ela isiyo pungua tshs 1 billion. Je sehemu gani anaweza wekeza na akawa sure kupata faida nzuri?
Afungue co then afanye export ya masalia ya wanyama pori,ngozi,mifupa,pembe.
Ni biashara nzuri sana.
Au ajenge big zoo na awe ana export live animals kwenda over seas,kama yupo tayari naweza msaidia some thing.
Mm ni mdau but nimejivua gamba becouse of my small capital.
 
Kuna bonge la shamba linauzwa, lipo kiji cha kidimu kibaha. Hekari 100 bei ni M500. Hiyo hela yake akishapata eneo kubwa kama hili ndio atajua awekeze nini. Eneo hili halifai kwa kilimo sababu kumeshakuwa ni mji.

Duh, ushauri mwingine
 
Aisee natafuta sana mtu kama huyo. je yupo tayari kukaa kijijini after ten years atakuwa na 500 Billion
 
Wekeza kwenye kilimo na usianze na billioni moja just dumbukiza mil 300 kwanza.
 
Huyo mtu anaweza akatafuta eneo kubwa katika sehemu nzuri hapa Dar kama vile Tegeta, Kijichi, Kimara au Ubungo na akajenga nyumba nzuri 20(sio za ghorofa) kila moja kwa gharama ya 50M na kuzipangisha each 1M kwa mwezi akawa anapata 20M kwa mwezi na kwa mwaka 240M. Baada ya hapo anaweza akafanya utafiti kwa muda wa kutosha wa biashara ipi afanye. Kisha anaweza akaenda kuomba mkopo TIB wa hata bilioni tano.
 
ntakuja kuwajibu soon nlikuwa sija contact naye kutokana na matatizo ya mtandao nlikuwa nashindwa log in my yahoo account
 
Back
Top Bottom