The secretary
JF-Expert Member
- Jan 14, 2012
- 4,149
- 2,536
I miss u Bishanga where are you you it is being a long time Bishanga where are you.
Amealikwa kitchen party Magomeni
we nawe ndio nini kupotea hivyo?? mbona sikusomi?? usipotee hivyo bana, lol!yuko msutoni
sikusomi ujue, za masiku salama nipo bidadanipo tele za masiku?
sikusomi ujue, za masiku salama nipo bidada
Nakumbuka mara ya mwisho alikuwa kwenye foleni ya kupokea majibu baada ya kupima ngoma kwa shinikizo la bi mdogo.
Mara ya mwisho alikuwa kismayu
baby love The secretary,nisamehe bure sijakuaga,achana na hawa wanga kina Arusha one,kwanza hakuna waoga wa kupima kama njemba za arusha.
Obama aliniita ghafla nikaipige jeki kampeni yake,leo ndo nimetokea minnesota.Kesho nitakuletea zawadi zako ikiwemo ufunguo wa cadillac na saa ya gucci.
I love you baby.
baby love The secretary,nisamehe bure sijakuaga,achana na hawa wanga kina Arusha one,kwanza hakuna waoga wa kupima kama njemba za arusha.
Obama aliniita ghafla nikaipige jeki kampeni yake,leo ndo nimetokea minnesota.Kesho nitakuletea zawadi zako ikiwemo ufunguo wa cadillac na saa ya gucci.
I love you baby.