Mheshimiwa lowassa ni dad pia kama tunaeshimu wazazi wetu kuvunjia heshima wa wengine ni ujinga tuweni na heshima si mtu unakurupuka na kuleta hoja ya viongozi wetu bila kuwa na lamaana
Kumwita mtu Fisadi si tusi na unajuaje aliyeleta mada ni mzee kuliko Lowassa. Jadili hoja si umri