Wapi Lowassa?

Haujui yuko Nje anatembelea Balozi zote za Tanzania kula pesa za nchi na hapo hapo kukagua balozi? wakati ni huu,

anajiamulia chochote Utamu ndio huo kwahiyo ni miezi miwili na alikuwa nje mwezi mmoja uliopita, yaani wanakula pesa za

nchi kama zao.

Wanasema aliondoka Juni 26, siku ambayo Ulimboka ametekwa. What a coincidence? Je, anahusika na hujuma hizo? Tafakari.
 
lowasa yupo ulaya na marekani akitumbua kodi za watz maskini huku akienda kumchimba membe katika fukuzia yao ya urais

Angekuwa na issue angeunda Kamati Teule ndio aende nje, ama angetuma vijana wake... Lakini kwenda hao wazee ni kwenda kula kuku. Angalia,Lowassa, Anna Abdallah, John Chiligati, Muhammed Seif Khatib, Zungu etc.... Hao ndio vinara wa hizo ziara na wamekwenda wote 24 na makatibu wa Bunge sita... Jumla 30 + mke+walinzi 2=33 maposho yao!! Kama ingekuwa wana nia ya kusaidia maofisa wa balozi wenye shida huko nje wangeomba hizo fedha zipelekwe huko ama zipelekwe hospitali ama wangeenda wachache na wangeenda nchi ambazo zina hali mbaya zaidi hasa nchi za Afrika.
 
BORA YA LOWASA KULIKO HUYU WA SASA. Edward jembe sana! Ngoja tungoje kipyenga cha 2015 cha urais wa nchi. Nahisi ntakuwa kampeni menej wake.

Hamna hata aliyebora kuliko mwenzie kwani wote ni wezi tu!! Kitu cha kustaaajabisha sana wabunge kuacha kujadili budget ya nchi wanaondoka kwenda kukagua balozi nchi za nje kwa kutumia mapesa mengi ambayo yangeweza kununua madawati ya madarasa kumi hivi!!! Silly bunge!!Bibi kiroboto amezidiwa nguvu, enzi za Sitta sidhani kama wangesafiri!!
 
Ila kiukweli huyu muheshimiwa ni jembe la kazi si mchezo,achilia mbali madhaifu yake ambao mimi na wewe tunaweza kuwa nayo kwa namna nyingine.
 
Kila mtu anamtazamo wake fisadi ni fisadi tu, hakuan cha mchapakazi wala nini!
 
Mkuu yuko safarini akiongoza kamati yake ya Ulinzi na Usalama kutembelea balozi za Tanzania katika nchi tajiri (hakuna hata moja masikini), yeye anaongoza kamati iliyokwenda Canada, New York na Washington DC, na ameambatana na mkewe Regina Mumba Lowassa (si mbunge) na walinzi wawili na wamesafiri daraja la kwanza na yeye atakaa siku 21: wenzake wengine akiwamo Chiligati, Zungu, Anna Abdalah, Mohammed Seif Khatib watakaa siku 14 katika nchi za Ulaya na Asia, ziara ambayo imezua maswali mengi kuliko majibu. Bahati mbaya ameondoka Juni 26, siku ambayo kumetokea mambo ya aibu kwa Taifa letu. More to come, je, amekwenda kumchimba Membe? Je, amekwenda kufuatilia vijinsenti (yale madola Uswisi), ama wastaafu wamekimbia bajeti na wao kwenda kupumzika? Bejeti yao ya safari imetoka wapi? Ama ndio kuwahi kumalizia mabaki ya bajeti ya mwaka unaoisha wakwangue sizirudi?

Kwanza kaa uzitambue sitahiki za kiongozi mstaafu,ukishajue urudi hapa.Halafu,kwenye maoni ya katiba unaweza kutoa ya kwako.Lakini huwezi kubadili katiba ya sasa.
Yuko nje ndio,anafanya kazi za bunge,hivi kukaa na kutukanana humo ndani ya bunge kuna let a Tija gain wakati balozi haina fedha na mishahara hawajalipwa tokea February? Kuna majengo ya serikali nani atakaejua yana Hali gain Kama sio kamati? Matatizo ya wafanyakzi nani atakaye jua Kama sio kamati? Acheni kumwaga mapovu hapa.
 
Kwanza kaa uzitambue sitahiki za kiongozi mstaafu,ukishajue urudi hapa.Halafu,kwenye maoni ya katiba unaweza kutoa ya kwako.Lakini huwezi kubadili katiba ya sasa.
Yuko nje ndio,anafanya kazi za bunge,hivi kukaa na kutukanana humo ndani ya bunge kuna let a Tija gain wakati balozi haina fedha na mishahara hawajalipwa tokea February? Kuna majengo ya serikali nani atakaejua yana Hali gain Kama sio kamati? Matatizo ya wafanyakzi nani atakaye jua Kama sio kamati? Acheni kumwaga mapovu hapa.
Hahaaaa!!! Mapovu wanamwaga kutetea ziara ya ulaji. Katiba stahiki watu 24 kwenda kukagua matatizo ya balozi zetu!! CAG hana kazi!!! Stahiki kwa mkewe kumsaidia kukagua balozi?!!! Stahiki ni kama anaenda kutibiwa si ziara za Bunge! Na Bunge kukagua balozi kamati nzima tena nchi zenye neema tu? Mbona wasiende Burundi? Nigeria?
 
Yupo uswis anakagua akaunti.

Story ya Ulimboka imeokoa wengi! Wenye fedha Uswisi na wengine, sasa bora wawahi kuweka mambo sawa! Wazime wapite na London kuzima ile kesi ya Money Laundry... Nilisahau, kukagua ubalozi UK na Geneva!! Si kwenda kwenye vijisenti!!! Lol!
 
Hahaaaa!!! Mapovu wanamwaga kutetea ziara ya ulaji. Katiba stahiki watu 24 kwenda kukagua matatizo ya balozi zetu!! CAG hana kazi!!! Stahiki kwa mkewe kumsaidia kukagua balozi?!!! Stahiki ni kama anaenda kutibiwa si ziara za Bunge! Na Bunge kukagua balozi kamati nzima tena nchi zenye neema tu? Mbona wasiende Burundi? Nigeria?

Ukija kusikia Wajumbe wanakwenda na Afrika utasemaje?
 
Hahaaaa!!! Mapovu wanamwaga kutetea ziara ya ulaji. Katiba stahiki watu 24 kwenda kukagua matatizo ya balozi zetu!! CAG hana kazi!!! Stahiki kwa mkewe kumsaidia kukagua balozi?!!! Stahiki ni kama anaenda kutibiwa si ziara za Bunge! Na Bunge kukagua balozi kamati nzima tena nchi zenye neema tu? Mbona wasiende Burundi? Nigeria?

Kiranja bwana,mbona unaturanja vibaya? Kwani kazi za CAG ni kuangalia matatizo ya wafanyakazi au kukagua mahesabu?
Kama kamlipia mkewe unajuaje?
Haya na walinzi aliopewa na serikali awalipie?
 
Ukija kusikia Wajumbe wanakwenda na Afrika utasemaje?

Tunazungumzia makundi 6 yalioyoondoka! Hakuna aliyekwenda Afrika na hawataenda maana hata hii tayari ni kashfa maana wamekomba fedha za matumizi ya Bunge za wiki nzima na kwa maneno kwamba balozi zina matatizo ni kichekesho. We mtu ana matatizo anahitaji fedha milioni 20 kulipa mishahara, wewe unatumia milioni 200 kwenda kumpa pole na kusema, "tumewaelewa tutakwenda kuishauri serikali" huku kwa vitisho na nidhamu ya woga, wanawatembeza DC na London kwa gharama zao!!! Upuuzi huu sijui utaisha lini. CAG alikua huko na taarifa imeeleza wazi matatizo na madeni na kinachotakiwa ni kutafuta suluhu si kwenda kutalii wabunge 24, makatibu 6, mke mmoja na walinzi 2!!
 
Ulimboka anataka uraisi kwani? Mie najua ni kiongozi wa madaktari.

Nguvumeza hoja nyingine ziache. Kuna wanaoelewa na ujumbe umefika kwa wahusika na wahusika wakipenda watajibu ama watatuma watu wajibu na wahusika wengine watafanyia kazi. Hapa ni suala la vita kubwa ambayo nyasi ndizo zitaumia mwisho wa siku.
 
Kiranja bwana,mbona unaturanja vibaya? Kwani kazi za CAG ni kuangalia matatizo ya wafanyakazi au kukagua mahesabu?
Kama kamlipia mkewe unajuaje?
Haya na walinzi aliopewa na serikali awalipie?

Haya ni maji marefu. Unasema "kama amemlipia" sasa hajamlipia.Teknolojia ya sasa huhitaji watu 30 kwenda kukagua majengo na matatizo ya wafanyakazi wa balozi zetu! Duh! Dat zote unaweza kuzipata hapa hapa Dar!
 
Tunazungumzia makundi 6 yalioyoondoka! Hakuna aliyekwenda Afrika na hawataenda maana hata hii tayari ni kashfa maana wamekomba fedha za matumizi ya Bunge za wiki nzima na kwa maneno kwamba balozi zina matatizo ni kichekesho. We mtu ana matatizo anahitaji fedha milioni 20 kulipa mishahara, wewe unatumia milioni 200 kwenda kumpa pole na kusema, "tumewaelewa tutakwenda kuishauri serikali" huku kwa vitisho na nidhamu ya woga, wanawatembeza DC na London kwa gharama zao!!! Upuuzi huu sijui utaisha lini. CAG alikua huko na taarifa imeeleza wazi matatizo na madeni na kinachotakiwa ni kutafuta suluhu si kwenda kutalii wabunge 24, makatibu 6, mke mmoja na walinzi 2!!
Teh teh teh kiranja bwana,unajua sio bunge linalolipa mishahara? Ni wizara ya fedha kupitia Foreign Ministry.Nani wa kuisukuma wizara iwalipe hapo?tuwe genuine tu kaka! Bunge ni Institution ambayo inajitegemea na ina vote Yake,Kama wamekomba m200 ni zao kwa akili ya kazi zao,sasa ulitaka wawape foreign halafu Huyo CAG akija wamwambiaje? Kuwa wamelipa mishahara wafanyakazi wa balozi?watakuja na madaktari walipwe na bunge?
 
Haya ni maji marefu. Unasema "kama amemlipia" sasa hajamlipia.Teknolojia ya sasa huhitaji watu 30 kwenda kukagua majengo na matatizo ya wafanyakazi wa balozi zetu! Duh! Dat zote unaweza kuzipata hapa hapa Dar!

Kiranja,ya ngoswe tumwachie ngoswe! Si unakula lakini? Au?
 
Kiranja,ya ngoswe tumwachie ngoswe! Si unakula lakini? Au?

"Teh teh teh kiranja bwana,unajua sio bunge linalolipa mishahara? Ni wizara ya fedha kupitia Foreign Ministry.Nani wa kuisukuma wizara iwalipe hapo?tuwe genuine tu kaka! Bunge ni Institution ambayo inajitegemea na ina vote Yake,Kama wamekomba m200 ni zao kwa akili ya kazi zao,sasa ulitaka wawape foreign halafu Huyo CAG akija wamwambiaje? Kuwa wamelipa mishahara wafanyakazi wa balozi?watakuja na madaktari walipwe na bunge?"

Kauli zako zote mbili ndilo tatizo la Watanzania. Kwa hulka hii rushwa haitaisha maana wezi na mafisadi tunawaona wajanja na waliowahi na kufanikiwa si watu wa kutengwa bali kusifiwa na kwamba walizoiba si zetu ni za serikali!!! Haya MUNGGU atunusuru.
 
Mheshimiwa lowassa ni dad pia kama tunaeshimu wazazi wetu kuvunjia heshima wa wengine ni ujinga tuweni na heshima si mtu unakurupuka na kuleta hoja ya viongozi wetu bila kuwa na lamaana
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom