msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,066
- 1,136
Saluti kwa wana jf wote. Wakuu ni siku nyingi sijamsikia mpambanaji EL, nini kimemkumba? Huyu bwana pamoja na makashfa yaliompata hadi kujiuzulu, alikuwa bora kuliko Pinda. Nina kila sababu ya kusema haya. Ukitaka kuamini haya, tazama hoja za Pinda mjengoni na kauli zake juu ya maswala muhimu kuhusu Taifa letu. He is very hopeless, sijui ni kigezo gani kilitumika kumpatia u-PM! Ningependa kumsikia Lowassa akisema lolote hususani kipindi hiki ambapo Taifa limekosa mwelekeo kabisa.
Ni mawazo tu wadau, karibuni kwa mjadala. Thanx.
Ni mawazo tu wadau, karibuni kwa mjadala. Thanx.