Mtalingolo
JF-Expert Member
- Aug 4, 2011
- 2,181
- 409
Nahisi ku-miss kituflani ninapoikosa michango ya huyu mwanadada, kunamtu mwenye habari kuhusu Lizzy jamani???
Nahisi ku-miss kituflani ninapoikosa michango ya huyu mwanadada, kunamtu mwenye habari kuhusu Lizzy jamani???
Niko Naye wamtafutia nini?
Nimem-miss sana, naomba japo dk20 tu nipate kumweleza kitu faragha..
Niko Naye wamtafutia nini?
Ujue Rev anatabia mbaya baada ya kumuweka ndani eti anamkataza kuingia JF kisa anahofia akina Nitonye
Nitawashusha mizigo ya pwani!!!
Leo nimeona post ya member kwa ID ya LIZ SENIOR, nikadhani ni yule yule Lizzy kaamua kubadili ID.
Who the hell is lazzy!
Niko Naye wamtafutia nini?
Mchungaji naona kondoo umeamua kumweka kwapani!!! hahahaaa, umenikumbusha enzi za mchangani mkizidiwa tu mpira kwapani :rant::rant:
Yuko ban