The Hunter
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 1,049
- 305
Chief, uliporudi bongo ulikuwa na swaga za ajabu kweli, uliponda sana wabongo wasiotaka kurudi Tz, pia ukaponda waliobadili uraia, ama kuwa na green card, chief tulijua ni maneno ya mkosaji maana haingii akilini kwamba hukupenda kuwa na cha kijani mkuu! pole bana, naona umekuwa JK part 2 ila wewe umekuwa mtalii wa ndani, pole bana
Mambo yakiyumba tukumbushe tukuchangie mpiga box mwenzetu usione soo jombaa.
Kama vipi check na maza akakuombee kazi kwa bakhera nae si ana meli na boti maana ndo taaluma yako
Pole bana bongo halisi ndo unaiona sasa, your longlife friend kakutosa hata ukuu wa wilaya!
Mambo yakiyumba tukumbushe tukuchangie mpiga box mwenzetu usione soo jombaa.
Kama vipi check na maza akakuombee kazi kwa bakhera nae si ana meli na boti maana ndo taaluma yako
Pole bana bongo halisi ndo unaiona sasa, your longlife friend kakutosa hata ukuu wa wilaya!