under_score
Senior Member
- Nov 2, 2011
- 190
- 45
Hii mambo naskia haikogo kabisa Ar, kweli ??
Kichwa cha habari kinauliza wapi utapata. . .
Mwili wa habari unasema Arusha haipatikani na kumalizia na swali.
Kichwa cha habari kinauliza wapi utapata. . .
Mwili wa habari unasema Arusha haipatikani na kumalizia na swali.
Dah! shule bwana inasaidiaga sana sometimes,
Inasaidiaga ehh?
Sasa mbona wengine hawaonekani kama imewasaidia.
mianzini mkuu! Kipo cha ukweli pale kaka!
si ndo kama wewe sasa mkuu? manake bandiko la mleta mada linaeleweka vizuri, japo ni kwa sentensi moja tu ambayo we imekuacha porini, haha!
Hii mambo naskia haikogo kabisa Ar, kweli ??
sasa heading na alichoandika ndani vinaendana kweli?basi na mimi atakuwa ameniacha kama lizzy
mianzini,sanawari hila mimi napendelea cha gody's place njiro
cha godys kibaya siku hizi lol
Kimekuwa libaya tena??hila kuna pub kabla ya godys kuna vidada vizuri vinauza km sema nimesahau panaitwaje