Wapi John Dilinga Matlou

Kwa wale wa juzi leo nenda pale Synage Lounge Osterbay Dj JD atafunga mwaka pale.

mimi nilikuwa Billicanus wakati tunaukaribisha mwaka 1999 sisahau hadi kesho ngoma zilivyopigwa.

Msikose pale muone muziki unavyopigwa!
 
Bills ya enzi za Dj JD ilituchanganya wengi.vipi pool side na Dj Bonny Luv? afadhali hawa jamaa wamerudi kutupa burudani tena.
pool side kilimanjaro hotel na marehemu salome makani, marehemu caro nyimbo, marehemu abdul msomali (mzee wa karl kani jeans!) wanamuziki wa enzi hizoooooo diplomatzzzzzzzz na turuke ruke kwa furaha! nimewakumbuka severa marandu na salama meghji forodhani, lulu kiluvia na k-lynn ndio alikuwa anachipukia! mmmmhhhhhh umenikumbusha mbali mnoooooooooo!
 
Co kumfundisha tuu Walimnyoosha!
Kauli yako inaonekana kabisa wewe ni wa kizazi cha Azam, wanaoujua muziki na kujua vema John Dillinga Matlou hawaweza babaisha kama ulivyofanya wewe!
Mully B hana uwezo wowote kwa John Dillinga!
Na kwa taarifa yako ilikuwa ni mbinu za kumdhoofisha JD kisanaa lkn walishindwa pamoja na kupanga matokeo ya ule mpambano!
Uliza uambiwe jamaa Mully ni mtoto sana kwenye game zaidi anaweza kuchezea Numark wakti JD anacheza na Turntable!
 
Kweli mkuu,nimependa nyimbo nyingi pia sababu yake,siku moja akiwa radio uhuru alipiga family potrait ya pink alafu haraka sana akapandishia na where is love ya black eyed peace! Maudhui ya hizo nyimbo na alivyozimix mpaka leo nazizimia mbaya! Kuna nyimbo alizipiga yeye tu sijawahi kuzikia mtangazaji wala Dj yeyote kuzipiga mfano that is the way my love will be ya JLo na act like you know kumbuki jina lao.lakini pia nyimbo maarufu tunayomkumbukia Dj JD ni ya justine Timberlake inaitwa Oh No!Dah hii nyimbo the way jamaa alivyokuwa anaipiga kipindi hicho the cruiz ya EA radio ilikuwa noumaa! Jamaa akiingia studio mpaka sound ya radio inabadilika! Akichelewa hata dk tano unajua jamaa hajaingia bado! Binafsi Dj JD alinifanya niwe na passion ya ajabu ya muziki hasa R&B and hiphop.

Hahahaaaaaa Oh No ndio mara nyingi alikuwa anaanza nayo halafu anamalizia na Just In Case(Jaheem) au Luv don't luv me(Erick Benet)!!! Good to hear The Legend is Back,Everlasting DJ on Music Boulevard
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom