Eti wale mafisadi waliandaa mpambano feki mwaka ule ili wapaishe jina la mully b kumshinda John Dillinga.....hovyo. Huyo mully b mwenyewe kutoka moyoni anajua kuwa hamuwezi Jd. Kweli cloud mabingwa wa kununua haki kama chama tawala.
Eti wale mafisadi waliandaa mpambano feki mwaka ule ili wapaishe jina la mully b kumshinda John Dillinga.....hovyo. Huyo mully b mwenyewe kutoka moyoni anajua kuwa hamuwezi Jd. Kweli cloud mabingwa wa kununua haki kama chama tawala.
Nilikuwepo pia,jamaa walipania kumharibia mpaka Masoud Kipanya pia inaonyesha hakufurahia,waliharibu wiper(kama sikosei) ya machine aliyokuwa anatumia JD na bila hiyo huwezi kumix,lakini JD akaamua kukamua kwa kutumia machine zao! jamaa alionyesha ubingwa wa kutumia LP kitu ambacho labda dj Rico pekee ndio angeweza kujaribu ktk madj waliokuwepo pale,dogo alivyokuwa anatumia hata hiyo cd machine alikuwa anachemka ilitakiwa majaji watoe credibility kwa dj jd kwa kutumia vizuri turn table lakini cha kushangaza wakasema ametoka droo na mul b na kuamua kutumia njia ya ajabu kutafuta mshindi huku mashine ya jd ikiwa na wiper mbovu! Uzuri jd alishatangaza hata akishinda hatoenda ulaya aende mshindi wa pili kama zawadi! Ndio maana clouds walitumia nguvu kubwa kujustify ushindi wa mul b ambae mwenyewe anajua feki na Dj JD ni role model wa mul b na amejifunza udj kwa kufata test za Dj JD! Uwazi wa Dj JD kupinga namna watu wa Mawingu wanavyoharibu muziki umefanya kutokuwa na maelewano na akina Ruge though wanapiga stori sometimes kama washkaji.Clouds ni watu wa fitna sana ila Dj JD bahati yake ni anaijua kazi yake hata akifanya kipindi radio Tanzania kitakuwa heat tu(refer alipoenda radio uhuru iliyokuwa mfu kabisa na akang'aa!).huyu jamaa yupo mioyoni mwa wapenda muziki na hakurupuki kufanya shows zake,anajiandaa vizuri kulinda heshima na status yake.hiyo siku ya final nilikuwa bills huyu mnyama DJ JD alikula vidudu mtoni aibu alipendeza mbaya japo alikuwa simple!alikula t shirt mikono mifupi,towel begani na gloves!huyo mully B kichefuchefu kama kawaida yake nguo hazimkai kama zimemvaa!mnyamwezi JD miaka mia katika fani!mkali kitambo....
Nilikuwepo pia,jamaa walipania kumharibia mpaka Masoud Kipanya pia inaonyesha hakufurahia,waliharibu wiper(kama sikosei) ya machine aliyokuwa anatumia JD na bila hiyo huwezi kumix,lakini JD akaamua kukamua kwa kutumia machine zao! jamaa alionyesha ubingwa wa kutumia LP kitu ambacho labda dj Rico pekee ndio angeweza kujaribu ktk madj waliokuwepo pale,dogo alivyokuwa anatumia hata hiyo cd machine alikuwa anachemka ilitakiwa majaji watoe credibility kwa dj jd kwa kutumia vizuri turn table lakini cha kushangaza wakasema ametoka droo na mul b na kuamua kutumia njia ya ajabu kutafuta mshindi huku mashine ya jd ikiwa na wiper mbovu! Uzuri jd alishatangaza hata akishinda hatoenda ulaya aende mshindi wa pili kama zawadi! Ndio maana clouds walitumia nguvu kubwa kujustify ushindi wa mul b ambae mwenyewe anajua feki na Dj JD ni role model wa mul b na amejifunza udj kwa kufata test za Dj JD! Uwazi wa Dj JD kupinga namna watu wa Mawingu wanavyoharibu muziki umefanya kutokuwa na maelewano na akina Ruge though wanapiga stori sometimes kama washkaji.Clouds ni watu wa fitna sana ila Dj JD bahati yake ni anaijua kazi yake hata akifanya kipindi radio Tanzania kitakuwa heat tu(refer alipoenda radio uhuru iliyokuwa mfu kabisa na akang'aa!).huyu jamaa yupo mioyoni mwa wapenda muziki na hakurupuki kufanya shows zake,anajiandaa vizuri kulinda heshima na status yake.
Kweli mkuu,nimependa nyimbo nyingi pia sababu yake,siku moja akiwa radio uhuru alipiga family potrait ya pink alafu haraka sana akapandishia na where is love ya black eyed peace! Maudhui ya hizo nyimbo na alivyozimix mpaka leo nazizimia mbaya! Kuna nyimbo alizipiga yeye tu sijawahi kuzikia mtangazaji wala Dj yeyote kuzipiga mfano that is the way my love will be ya JLo na act like you know kumbuki jina lao.lakini pia nyimbo maarufu tunayomkumbukia Dj JD ni ya justine Timberlake inaitwa Oh No!Dah hii nyimbo the way jamaa alivyokuwa anaipiga kipindi hicho the cruiz ya EA radio ilikuwa noumaa! Jamaa akiingia studio mpaka sound ya radio inabadilika! Akichelewa hata dk tano unajua jamaa hajaingia bado! Binafsi Dj JD alinifanya niwe na passion ya ajabu ya muziki hasa R&B and hiphop.Dah kitambo ndugu coz wanikumbusha kitambo dj jd alikuwa noma na mtaa wa mangoma,siwezi msahau yule na miziki mingi nimeipenda kwa sababu yake, he is the best