BLUE BALAA
JF-Expert Member
- Nov 30, 2010
- 1,222
- 764
huyu jamaa ni entertainer acha mchezo,jd wa redioni sio wa club!anaipenda kazi yake kutoka damuni na ana displine ya kazi haswa,pamoja na kazi ya u dj hatumii kilevi! Nafikiri imemsaidia kudumu kwenye kiwango chake
Ni kwelo alikuwa DJ mzuri sana and its true huyu bwana hatumii kilevi, there was a time alikuwa analeta wasanii sana Arusha. Yeye ni mtu wa juice tu.