cheusimangala
JF-Expert Member
- Feb 27, 2010
- 2,585
- 497
Wapendwa amani ya Mungu iwe juu yenu.
Naomba kwa mwenye kufahamu anijulishe ni wapi inapouzwa milango mizuri imara na ya design za kisasa kwa Dar es salaam.
Namaanisha milango ya mbao ya ndani.
Vile vile kwa anayefahamu zinapopatika Tiles original nitamshukuru akinijulisha.Hata wachina wanasemaga zile za kwao ni original lkn pamoja na kuwa na marembo mazuri huwa zinachubuka baada ya mwezi mmoja hivyo nikisema 'original tiles' namaanisha original kweli hivyo anayefahamu duka la tiles original lilipo anielekeze lkn lisiwe kariakoo sbb siamini kama kariakoo kuna vitu original.
Natanguliza shukrani zangu.
Naomba kwa mwenye kufahamu anijulishe ni wapi inapouzwa milango mizuri imara na ya design za kisasa kwa Dar es salaam.
Namaanisha milango ya mbao ya ndani.
Vile vile kwa anayefahamu zinapopatika Tiles original nitamshukuru akinijulisha.Hata wachina wanasemaga zile za kwao ni original lkn pamoja na kuwa na marembo mazuri huwa zinachubuka baada ya mwezi mmoja hivyo nikisema 'original tiles' namaanisha original kweli hivyo anayefahamu duka la tiles original lilipo anielekeze lkn lisiwe kariakoo sbb siamini kama kariakoo kuna vitu original.
Natanguliza shukrani zangu.