Senator huyu jamaa kitambo sana hata mimi sijamsikia ila watu wake wa karibu wameniambia yupo b hitz anarecord nyimbo zake mpya!soon ataitambulisha single yake iitwayo mama kimbo akimshirikisha mabeste!
hii mama kimbo ni kwamba nimeisikia na kuiona au naota jamani?
dah!huyu jamaa me namkubali sana,japo wabongo wengi wamekua haters kwake.
Kwa nini usiseme tu nipo. Nafikiri aliyeuliza swali hakujui kuwa ndiye! Mtawatambua kwa matendo yao na majibu yao.Senator huyu jamaa kitambo sana hata mimi sijamsikia ila watu wake wa karibu wameniambia yupo b hitz anarecord nyimbo zake mpya!soon ataitambulisha single yake iitwayo mama kimbo akimshirikisha mabeste!
Kwa nini usiseme tu nipo. Nafikiri aliyeuliza swali hakujui kuwa ndiye! Mtawatambua kwa matendo yao na majibu yao.
angekuwa anamsifia Kanye tusingesema ndo yeye...
Wakuu,nauliza yuko wapi na anafanya nin huyu superstar wa bongo,kijana handsome,anaependwa na totoz za ndani na nje ya nchi{hemed Phd},sijamsikia muda mrefu,au nae keisha amua kustaafu music na kwenda kugombea ubunge?
Hana cha kufanya.Yupo tu mjini anauza sura.
Hana cha kufanya.Yupo tu mjini anauza sura.
umejifunza lini uongo weye..subiri kitu cha mama kimbo ndo utajua kama anauza sura au la!
Roger that shosti muleze huyo local!!!haters bana wanaacha kuwapa moyo wamejiajiri wanabaki kukandia!!!dogo anaishi kwa kipaji chake na daily yupo busy na kazi zake halali aidha studio au location....mama kimbo has already been released na sasa movie mpya THE WAITER itafuata....
mkuu,tutambulishane kama we ndo hemed mwenyewe.it seems unajua mambo ya huyo suparstar wetu mengi.