STK ONE
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 627
- 184
Jamani nijuzeni mwenzenu. Nimekuwa nikisubiri midahalo ya katiba mpya ambayo iliahidiwa na wana UDASA chini ya Dr. Kitila kuwa itakuwa nchi nzima na tena itakuwa endelevu. Nimesubiri mtu aanzishe uzi huu lakin kimya. Vipi, what happened? Au walikatazwa na serikali? Au sheria ya mabadiliko ya katiba imewabana wasioe elimu kuhusu katiba. Plz, mwenye majibu anipe....!!!!