Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,904
- 93,749
Utakufa mapema.
hehehe ushindwe na unyong'onyee....we si ndio umetoka chumbani vululuuu na nguo yako ya kioo
Utakufa mapema.
Madame B unataka kuniuza usubuhi subuhi................Nikupe namba zake za simu umtafute?
Ndo namba yake ya Tigo.
Ciello nina mchapo wa nguvu,takutafuta badae.
mpenzi charminglady shostito wako Elizabeth Dominic wapi? Anatafutwa na jamaa anayemfukuzia kiukweli ukweli[/Q
Mbona simuoni akionyesha juhudi PM anakuja hapa kujilambalamba tu
Mimi wa kuhamia fb?.......................mbona humuhumu watu wanapiga kimya kimya tu sema tu mkiva hajui pa kunipata JF kubwa ati si chitchat tumkiva hababy wangu Elizabeth Dominic unamtakia nini? Tumehamia fb na whatsapp
Achana nae hana jipya....halafu mbona PM zangu hazifiki kwako? Teh hebu ni-PM tuongee kidogo maana hapa naona babu Asprin ataweka kiwingumpenzi charminglady shostito wako Elizabeth Dominic wapi? Anatafutwa na jamaa anayemfukuzia kiukweli ukweli[/Q
Mbona simuoni akionyesha juhudi PM anakuja hapa kujilambalamba tu
Achana nae hana jipya....halafu mbona PM zangu hazifiki kwako? Teh hebu ni-PM tuongee kidogo maana hapa naona babu Asprin ataweka kiwingu
niaje chapombe? Unataka kupga majungu?
Achana nae hana jipya....halafu mbona PM zangu hazifiki kwako? Teh hebu ni-PM tuongee kidogo maana hapa naona babu Asprin ataweka kiwingu
We mbona nawe umenichunia? afu we ngoja tu...............nitakuibukia huko
hehehe ushindwe na unyong'onyee....we si ndio umetoka chumbani vululuuu na nguo yako ya kioo
Ziba macho.
mkiva hababy wangu Elizabeth Dominic unamtakia nini? Tumehamia fb na whatsapp