mshana org
JF-Expert Member
- Jan 28, 2012
- 2,091
- 618
jamani najua mumeamka salama.namuulizia ELIZABETH DOMINIC yuko wapi nimejaribu kumchungulia humu ndani simuoni siku nyingi haonekani.mwenye taarifa zake tafadhali
jamani najua mumeamka salama.namuulizia ELIZABETH DOMINIC yuko wapi nimejaribu kumchungulia humu ndani simuoni siku nyingi haonekani.mwenye taarifa zake tafadhali
Nikupe namba zake za simu umtafute?
Ningefurahi sana MENTION<4837599>Madame B MENTION. Ila umeamkaje
Ya uongo!hahahahahah madame hyo no ya kweli?
Nimepiga haipokelewi bana
shostii za siku kadhaa? Nimekumiss saaaaana
Una uhakika gani kama alilala?
Ya uongo!
Nimelala bhana,
c unaona nimetoka kuamka?
yah nakuona na night dress hiyo au sijui ni pajama!
Hii ni Night dress kitu cha Kioo.
kweli ni ya kioo, maana ninavyovishuhudia....ngoja nizibe mdomo.