Hili swala sijui kama limewakuta wengi,iweje wapenzi mliopendana na kushibana kwa kila jambo kwa mda mrefu wakati linapookea jambo la kuwatenganisha kuna kua na chuki kali kati ya watu hao,?nn hasa sbbu
inategemea wapenzi hao waliachanaje! Kwa mfano, kama waliachana ktk hali ya amani kwa ndoa yao kuvurugwa na wazazi, ndugu nk hakuwezi kuwa na chuki baina yao, lakini imagine kuwa ndoa imevunjwa baada ya kugundua mmoja wapo alitaka kumtenda mabaya au hata kumuua mwenzake, unafikiri hakutakuwa na chuki hapo?
there is a thin line between love and hate!hili swala sijui kama limewakuta wengi,iweje wapenzi mliopendana na kushibana kwa kila jambo kwa mda mrefu wakati linapookea jambo la kuwatenganisha kuna kua na chuki kali kati ya watu hao,?nn hasa sbbu
mmmh, watoto ndio huwa hivyo.
Upendo wa online?
inategemea mliachana vipi ila kwa upande wangu nikiachana na mtu ndio basi tena sitaki mawasiliano hata kama tuna watoto tulikutana ukubwani bwana wakuniganda ni ndugu pekee wewe sio ndugu yangu bana .tena hawa ndio huaribu uhusiano wako mpya maana hujifanya wankujua kweli na kama wanadhamana na wewe.nikiachana na mtu sitaki mawasilianao,unaashum hatujawahi kukutana and i will never regret with spear tyre
upoje uo mkuu