Mimi nilikuwa nae na mambo yalikuwa safi tu na kwenye majambozi alikuwa hajambo mpaka wakati mwingine huwa namkumbuka,ambao hamjajaribu jaribuni mtaniambia.
mh, mhhhh........... Unaweza kuthitisha hayo.................
....Damn it, kitu mwake mwake full mzuka....Mwenye contact pleeeease...kweli asiyejua maana usimwambie maana...
4 by 4 by far
Nilikutana na tipwatipwa moja linatokea Zimbabwe kama hili,ila lenyewe limekaa vizuri na liko hot as hell...Kilichofuata,usiniulize...
Mhn naurafi hapo nimekoma!!Ha Ha Ha Ha no comment!!!!!! Indeed she is .......................