Mimi nimekereka sana na ITV. Wamerudia ule upuuzi wao wa kupitisha matangazo kwenye maandishi wakati hawa waigizaji wakiwa wanaongea kikwao na hivyo kushindwa kueleaa kinachoendelea. Kwa nini hawapatishi hilo tangazo juu? Wanakera sana hawa ITV.Mmh hii sasa Kali! Mtoto kaacha kufanana na baba kafanana na mchepu