stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,887
- 4,467
Jamani hivi Katlego ataokotwa lini?? Si watamuokota ameshaoza sasa atatambulika kweli?? Mbona hata mtu hapiti kule alipotupwa??
Jamani hivi Katlego ataokotwa lini?? Si watamuokota ameshaoza sasa atatambulika kweli?? Mbona hata mtu hapiti kule alipotupwa??
Skhu kashahisi kuna kitu hakiko sawa na ndiyo anaenda nae hivyo hivyo,vile alivyokuwa anamfananisha dada wa watu na Katlego ndiyo aseme I'm in control wakati damu ya mtu ishaanza kumchanganya.Moyo wake wa lion unaisha unaanza kuwa waswala! Soon atatoa siri maana damu ya mtu nzito! Mara oooh I'm in control basi tu skhu anashindwa kuunganisha dot.
Ameamua mwenyewe kuacha Isidingo ili aweze kuendelea na shughuli zake nyingine.Asee hata mm tangu jana nawaza isidingo bila segment ya vurugu za Katlego na Sibeko.
Zukisa amepewa na platinum card ajimwage nayo siyo mchezo.Comment yako imenichekesha sana mkuu, kwamba mbele ya pesa hakuna utata
yani acha tu, hii kitu isidingpo ni noma sana, barker na zamdela ndo ma legend, long time na bado wanakimbiza, too sad matabanes junior ma aggy na zeb wamesepa, ila bado iko the best mana zilikuepo nyingi passion, egoli, short land street, young and the restless, the bold and the beautiful, sunset beach, empire, days of our lives (CTN) zote zimechuja, ila kitu cha dingo bado kimesimamaNamkumbuka lolly mcharuko, barker akiwa amevaa lile chongo lake, ken, marehemu lee haines, vusi matabane, baada ya figisu za parson alimpata demu flani nimemsahau, wengine nishaisahau
nakumbuka iliishiaga THE BOLD AND THE BEATYFULL ndo ikaanzaga ISIDINGO zamani sana na utamu hauishi
zamdela ndo alikua anavaa patch sio barker, halafu papa G utozi kaanza long time, yani msela hadi raha, no wonder his grandson and his daughter nao wa kiselaselaNamkumbuka lolly mcharuko, barker akiwa amevaa lile chongo lake, ken, marehemu lee haines, vusi matabane, baada ya figisu za parson alimpata demu flani nimemsahau, wengine nishaisahau
nakumbuka iliishiaga THE BOLD AND THE BEATYFULL ndo ikaanzaga ISIDINGO zamani sana na utamu hauishi
Hata Barker ameshavaa patch alijikosakosa kujiuazamdela ndo alikua anavaa patch sio barker, halafu papa G utozi kaanza long time, yani msela hadi raha, no wonder his grandson and his daughter nao wa kiselasela
oh okay, nimekumbuka sasaHata Barker ameshavaa patch alijikosakosa kujiua
Aiseee itakuwa poa niajeInavyoelekea huko maana nothing goes for free! Atamla tu hakuna namna! Sizwe kashajiunga na vijiwe vya ghahawa kachoka kusubiri!
She is beautiful,wonderful n all the like kwa mwanamke kama yule na linc yuko lonely ni kujidanganya Zuki mzuri sanaWhy not?
Sema pamoja na yote linc anaicheza vema sana ile move soft kiasi wengi huishia kudhani kweli kaachwa so sidhani kama atapotea sema Nikiwe ndie anaweza stukia mchezo ila Nikiwe ndie mafia zaidi maana anajua kupindisha mipira sanaSkhu kashahisi kuna kitu hakiko sawa na ndiyo anaenda nae hivyo hivyo,vile alivyokuwa anamfananisha dada wa watu na Katlego ndiyo aseme I'm in control wakati damu ya mtu ishaanza kumchanganya.
Umenichekesha sanaSema pamoja na yote linc anaicheza vema sana ile move soft kiasi wengi huishia kudhani kweli kaachwa so sidhani kama atapotea sema Nikiwe ndie anaweza stukia mchezo ila Nikiwe ndie mafia zaidi maana anajua kupindisha mipira sana
Namngoja utasikia upapaaaa!weeena!
zamdela ndo alikua anavaa patch sio barker, halafu papa G utozi kaanza long time, yani msela hadi raha, no wonder his grandson and his daughter nao wa kiselasela
heheee, yani gaidi cherel na lee wa haines nawasikia sana, too bad sijawah kuwaona manake kipindi hiko nlikua boarding then chuo pia nikaenda mkoa mwingine (sio dar), so nilkikua n ikirud likizo hata siangalii, nilianza kuifuatilia tena kwa ukaribu baada ya kumaliza chuo, ila action zao nliziona kidogo you tube kwenye zile baadhi ya episodes za nyuma nyuma walizoziweka.Barker aliwahi kuvaa patch na kujifanya haoni kumbe alikuwa anaona vizuri. Hapo ndiyo former wife Cherel alikuwa na affair na Lee (sikumbuki jina lake vizuri) mbele ya Barker kumbe mzee anawaona.
She is beautiful,wonderful n all the like kwa mwanamke kama yule na linc yuko lonely ni kujidanganya Zuki mzuri sana
Sizwe nadhani ataibiwa zile pesa tena mpango utakuwa umesukwa na NinaZuki mpaka ameamua kusali kwa bidii mana credit card imempa kichaa, masikini Sizwe asije kunyang'anywa zile fedha alizopata za upatu na wapambe wa Nina!
Mzee Linc naye anazidi kuchanganyikiwa na Zuki sijui kama hatombaka huko mbele ya safari.
Hahaha umemiss vingi hapo kati... Time kumuondosha katlego zilikuwa zimefika hata mimi ilifika mahala nimechoka namna katlego she was behave mwishoe akauwawa... Sema naona drama zimepungua kwenye isidongo baada ya kumuondoa katlego something little is missing.... Siunajuwa mazoea...sijaangalia Isidingo nina week ya 3. nahisi hadi January tena... nasikitika Katlego kutokuwepo tu
Anaweza asimbake ila akakubali tu mwenyewe kwa hiari yake maana na Sizwe ni kama ameanza kutengeneza gapeZuki mpaka ameamua kusali kwa bidii mana credit card imempa kichaa, masikini Sizwe asije kunyang'anywa zile fedha alizopata za upatu na wapambe wa Nina!
Mzee Linc naye anazidi kuchanganyikiwa na Zuki sijui kama hatombaka huko mbele ya safari.