Shilingi mbovu
JF-Expert Member
- Sep 24, 2016
- 542
- 201
Alafu naona km linco atammegaZukisa sasa maisha ya penthouse yanamlevya! Amechanganywa na mataa wala hana woga na heshima ya zamani kwa mumewe! Pesa kitu kingine anajiona kafikaaaa
Alafu naona km linco atammegaZukisa sasa maisha ya penthouse yanamlevya! Amechanganywa na mataa wala hana woga na heshima ya zamani kwa mumewe! Pesa kitu kingine anajiona kafikaaaa
Alafu naona km linco atammega
Namkumbuka lolly mcharuko, barker akiwa amevaa lile chongo lake, ken, marehemu lee haines, vusi matabane, baada ya figisu za parson alimpata demu flani nimemsahau, wengine nishaisahau
nakumbuka iliishiaga THE BOLD AND THE BEATYFULL ndo ikaanzaga ISIDINGO zamani sana na utamu hauishi
Zukisa sasa maisha ya penthouse yanamlevya! Amechanganywa na mataa wala hana woga na heshima ya zamani kwa mumewe! Pesa kitu kingine anajiona kafikaaaa
Hahahahahahaha aoshee tuuu runguInavyoelekea huko maana nothing goes for free! Atamla tu hakuna namna! Sizwe kashajiunga na vijiwe vya ghahawa kachoka kusubiri!
Ni hulka za binadamu wote hasa wakike..
Acha nae aonjee utamu wa dyudu la Penthouse..
Sam banah she is atrick woman kaa mbali naye hatari kabisa, ameinunua akili ya Rajesh bila Rajesh kujijua, nimeona Sam alimtega na keki basi Rajesh kaingia mazima end of the day Sam was promoted to new duties hatariiii
ISIDONGO tamthilia tamu sana... hata kama hujaangalia mwaka mzima ukaja ukaziangalia episode mbili basi utamu upo pale pale na utaielewa.... nakumbuka alivyokufa jeffy nikasema wamemuondoa kichwa cha sibeko na alikuwa anacheza character nzuri sana lakini baada ya kifo chake episode zilizofuata utamu ukawa palepale Likewise sahivi kifo cha katlego ila itaendelea kuwa tamu tu maana tamthilia hii ni ngumu kutabili kitakacho endelea mbele... IsIdINGo ni kiboko
Alafu huyo doctor jean mbona ana lalamika sana nakumbukua kipindi flan alikua na rasta zake alisepa bila kuaga na alivyo rudi alikua anaficha kuongea na ange Ila saiz linajidai lina hasira nakutaka Ku force vitu
Hivi unakaaje na Zukisa nyumba moja 'for free'Inavyoelekea huko maana nothing goes for free! Atamla tu hakuna namna! Sizwe kashajiunga na vijiwe vya ghahawa kachoka kusubiri!
Mbona kama Cal kapotea na drug ila ukweli ni kwamba walikuwa wanaenda siko inabidi kukubali gharama za mahusiano jama huwezi ukatoa kipaumbele kwa mtu mwingine wa rika la mpenzi wako afu abaki anatabasamulina nikera sana. calvin sifikiri anamtaka au kumtamani anji...ila mambo ya huyo jo maki yatamfanya anjii aamue tofauti na kumpa tunda calvin. subiri
Zukisa ameanza kumpandishia Sizwe na kuanza kumpenda Linc(Linc anamuita Zuki) inavyoonesha mda si mrefu atateleza.Jamani jana ilikuaje?
Why not?Hivi unakaaje na Zukisa nyumba moja 'for free'
Huu mtiani mwengine kwa Sizwe baada ya ule wa Pastor Gabriel,Halafu leo Linc anazidi kujichanganya tu kuhusu Katlego.Zukisa ameanza kumpandishia Sizwe na kuanza kumpenda Linc(Linc anamuita Zuki) inavyoonesha mda si mrefu atateleza.
Cal ndio drug kwa kwenda mbele.
Skhu kachimbwa bit hakuna kwenda New York.
Na Mengine ni ya Mtoto mzuri Sam na Rajesh
Huu mtiani mwengine kwa Sizwe baada ya ule wa Pastor Gabriel,Halafu leo Linc anazidi kujichanganya tu kuhusu Katlego.