Kwa nn mkuuKatika mafala basi calvin ni mmoja wapo...
Ya leo sijabahatika kuiona... Nipe hintsKatika mafala basi calvin ni mmoja wapo...
Itakuwa tamu sn mm mwenyewe natamani kuona Zukisa akitafunwaAlafu mzee lincon na dizaini kama anataka kumtafuna zukisa ha ha ha ha
Nimeiweka hapo mkuu pata muhtasariYa leo sijabahatika kuiona... Nipe hints
Afu ni msuper hot..
Napenda sana lips zake na kabody ka sutii
Halafu naona kaanza kutumia madawa ya kulevyaCalvin sasa keshaanza kupotea,halafu anamuulizia Katlego.
Ah! yule sijui itakuaje.Halafu naona kaanza kutumia madawa ya kulevya
Kwa sebeko kuliandaliwa party.. Linc anaanza kuona maruweruwe anamuona Kat anakoelekea atadata. Kevin ameanza kubwia unga,Angie anataka kurekebisha uhusiano wake na JamalJana imekuwaje jamani nisimulieni