deonova
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 742
- 417
Unahisi huyu mzee Sibeko maneno yake anapomwambia Kat kwamba wayamalize yanatoka moyoni kweli? Wakat ameshasmell monkey business....haelewi kinachoendelea kati ya Kat na Nina na haelewi kinachoendelea kati ya Kat na Calvin bad enough anataka kumkiss pale nursery room mama kakwepesha mdomo kukataa kiss.hawajakutwa.... ila Leo wamkutana The Rec akamwambia kuhusu kutoka kusepa Pent House... sasa Calvin alimdanganya Aphiwe anaenda mishe tu wakati anaenda kuongea na Kat hapo Kat anamwambia Cal that's why I always love U .... Kumbe nae anawafatilia nyuma... Kakamaind wakaishia kugombana tu.
Lincolin anamsisitiza Kat wazungumze wamalize tofauti for the sake of the baby